The Rock City Marathon

The Rock City Marathon
Promoting Domestic Tourism Through Sports.

Thursday, 11 September 2014

Malinzi azindua Rock City Marathon 2014

Mratibu wa Rock City Marathon  kutoka kampuni ya Capital Plus International Ltd, Bi Grace Sanga (wa kwanza kulia) akipongezwa na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) Bw. Dioniz Malinzi (Wa nne kulia) ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi  wa Rock City Marathon 2014, jana jijini...

Monday, 8 September 2014

Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa keshokutwa

Na Mwandishi Wetu UZINDUZI wa msimu wa sita wa mbio za Rock City Marathon 2014 zilizoanza mwaka 2009, zikiwa na lengo la kukuza Utalii wa Ndani kupitia michezo, unatarajia kufanyika Septemba 10, kwenye Hoteli ya New Afrika, jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo,...

Monday, 9 June 2014

Mbio za Rock City Marathon 2013 zafana

Na Mwandishi wetu WANARIADHA Alphonce Felix kutoka Arusha na Vicoty Chepkemoi kutoka Kenya wameibuka vinara katika mashindano ya riadha ya kilometa 21 yanayojulikana kama ‘Rock City Marathon 2013’ yaliyofanyika Jijini Mwanza jana Jumapili nakujinyakulia Shilingi milioni moja na nusu (Sh 1.5 m) kila mmoja. Alphonce...
Powered by Blogger.