Thursday, 11 September 2014
Monday, 8 September 2014
Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa keshokutwa

Na Mwandishi
Wetu
UZINDUZI wa
msimu wa sita wa mbio za Rock City Marathon 2014 zilizoanza mwaka 2009, zikiwa
na lengo la kukuza Utalii wa Ndani kupitia michezo, unatarajia kufanyika
Septemba 10, kwenye Hoteli ya New Afrika, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza
jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo,...
Posted by
CapitalPlus International
0
comments
Read More
Monday, 9 June 2014
Mbio za Rock City Marathon 2013 zafana

Na Mwandishi wetu
WANARIADHA Alphonce Felix kutoka Arusha na Vicoty Chepkemoi kutoka Kenya
wameibuka vinara katika mashindano ya riadha ya kilometa 21 yanayojulikana kama
‘Rock City Marathon 2013’ yaliyofanyika Jijini Mwanza jana Jumapili
nakujinyakulia Shilingi milioni moja na nusu (Sh 1.5 m) kila mmoja.
Alphonce...
Posted by
CapitalPlus International
0
comments
Read More
Subscribe to:
Posts (Atom)
Powered by Blogger.