
Na Mwandishi wetu
WANARIADHA Alphonce Felix kutoka Arusha na Vicoty Chepkemoi kutoka Kenya
wameibuka vinara katika mashindano ya riadha ya kilometa 21 yanayojulikana kama
‘Rock City Marathon 2013’ yaliyofanyika Jijini Mwanza jana Jumapili
nakujinyakulia Shilingi milioni moja na nusu (Sh 1.5 m) kila mmoja.
Alphonce...